Tunawatakia ndoa njema

Amehakikisha kuwa wako pamoja na mkewe na mapenzi yao yanazidi kunoga na hata kuzidi kukuwa baada ya kuposti picha kwenye mitandao ya kijamii wakiwa pamoja na mkewe Amina Khalef
Baada ya mashabiki wake kuona picha yake msanii Alikiba waliwasifia huku wengi wakiwatakia ndoa njema
shukran :fastnews