Wizara ya mambo ya nje ya Italia imesema kuwa balozi wake nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ameuawa katika shambulio dhidi ya msafara wa magari ya Umoja wa Mataifa mashariki mwa nchi hiyo.
Balozi Luca Attanasio na mwanajeshi mmoja wa Italia wameuawa katika shambulio lililotokea karibu na mji wa Kanyamahoro